Shule iliyoongoza kitaifa yakabiliwa na Changamoto

Afisa Itifaki na Uhusiano wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa (AICC), Rodney Thadeus (kushoto) akimkabidhi bando la sengénge Mwalimu Mkuu wa Shule ya sekondari Kisimiri, Emmanuel Kisongo.

Licha ya Shule ya sekondari Kisimiri kuongoza kitaifa katika kufaulishwa wanafunzi wa kidato cha sita bado shule hiyo inakabiliwa na ubovu wa miundombinu pamoja na ukosefu wa uzio wa shule hiyo inayopakana na hifadhi ya taifa ya Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS