Airtel Rising Stars msimu wa 6 yazinduliwa leo Kampuni ya simu za mkoni ya Airtel Tanzania imezindua mashindano ya vijana, chini ya umri wa miaka 17, Airtel Rising Stars kwa msimu wa 6 hii leo, makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dare se Salaam. Read more about Airtel Rising Stars msimu wa 6 yazinduliwa leo