TFF yaitahadharisha Yanga vurugu uwanja wa Taifa

Ofisi za makao makuu ya TFF Karume jijini Dar es Salaam.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepokea taarifa juu ya mpango na kauli za baadhi ya viongozi wa Yanga kushawishi mashabiki wao kufanya vurugu dhidi ya warushaji matangazo ya televisheni ya moja kwa moja wakati wa mchezo wao Jumanne

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS