Ureno tia maji tia maji yatinga robo fainali Euro

Mfungaji wa bao pekee la Ureno dhidi ya Croatia kiungo Ricardo Quaresma.

Uzoefu wa baadhi ya wachezaji kama Cristiano Ronaldo na wengine kama kina Quaresma umekuwa ndiyo chachu pekee yakuivusha timu ya taifa ya Ureno katika mbio za kuwania ubingwa wa michuano ya mataifa ya Ulaya Euro 2016 inayoendelea nchini Ufaransa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS