Pluijm ajifunga tena Yanga kwa miaka miwili Kocha wa Yanga Hans Pluijm akisaini mkataba wa kuendelea kuifundisha Yanga mbele ya katibu mkuu wa Yanga Baraka Deusdedit. Yanga imefanikiwa kumaliza utata wa kuendelea na kocha wao mkuu Hans Pluijm baada ya kumuongezea mkataba wa miaka miwili. Read more about Pluijm ajifunga tena Yanga kwa miaka miwili