Pluijm ajifunga tena Yanga kwa miaka miwili

Kocha wa Yanga Hans Pluijm akisaini mkataba wa kuendelea kuifundisha Yanga mbele ya katibu mkuu wa Yanga Baraka Deusdedit.

Yanga imefanikiwa kumaliza utata wa kuendelea na kocha wao mkuu Hans Pluijm baada ya kumuongezea mkataba wa miaka miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS