Kamati kuu ya Halmashauri kuu CCM kuanza hii leo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa, Abdulrahman Kinana Kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM, inatarajiwa kuanza hii leo Mjini Dodoma,ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya awali ya Mkutano Mkuu maalumu wa CCM taifa. Read more about Kamati kuu ya Halmashauri kuu CCM kuanza hii leo