Malale asaini mwaka mmoja kuifundisha JKT Ruvu Kikosi cha JKT Ruvu Kocha wa zamani wa JKU na Ndanda FC Malale Hamsini amesaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuifundisha timu ya JKT Ruvu katika msimu ujao wa Ligi kuu ya Soka Tanzania Bara. Read more about Malale asaini mwaka mmoja kuifundisha JKT Ruvu