Dini zisihusishwe na vitendo vya kigaidi nchini Waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh.Mwigulu Nchemba amesema mtu anapofanya tukio la kinyama au kigaidi akamatwe mhusika aliyefanya hilo tukio nasio kuhusisha tukio hilo la kigaidi na dini yake. Read more about Dini zisihusishwe na vitendo vya kigaidi nchini