28.8% ya watoto wanatumikishwa nchini Tanzania
Takwimu zinaonesha kuwa watoto milioni 4.3 wanatumikishwa katika kazi za kilimo, mifugo, uvuvi pamoja na madini nchini Tanzania kati ya watoto milioni 15 hali inayochangiwa na kipato duni katika ngazi ya kaya.

