Mabinti waje kushiriki Dance100%- Jaji Khalila

Jaji wa Dance100 Khalila akiwa anaonyesha alama kwa kundi lililoshiriki shindano.

Shindano la Dance100 2016 limeanza kwa usaili wa kwanza kufanyika katika viwanja vya Leaders Jijini Dar es salaam ambapo kati ya makundi 10 yaliyojitokeza, makundi matano yalifanikiwa kupita na kwenda ngazi ya roboa fainali

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS