Hatma ya Urusi Olimpiki ipo mikononi mwa IOC

Rais wa IOC Thomas Bach

Kizungumkuti cha kashfa ya dawa zilizopigwa marufukua michezoni, bado kinaiweka njia panda nchi ya Urusi, na huruma ya IOC, ndiyo inasubiriwa kujua hatma ya wanariadha wake kama watashiriki mashindano ya Olimpiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS