TFF yawafungia wachezaji watatu RCL

Alfred Lucas, Afisa Habari wa TFF

Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imewafungia wachezaji watatu, walioshiriki katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), kituo cha Morogoro 2015/2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS