TFF yawafungia wachezaji watatu RCL Alfred Lucas, Afisa Habari wa TFF Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imewafungia wachezaji watatu, walioshiriki katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL), kituo cha Morogoro 2015/2016. Read more about TFF yawafungia wachezaji watatu RCL