Wanasheria Mahakama ya Afrika kujengewa uwezo

Rais wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu iliyopo mjini Arusha Jaji Augustino Ramadhani

Wataalamu wawili kutoka mahakama ya Ulaya ya Haki za Binadamu (ECHR) wako jijini Arusha katika kongamano linalolenga kuimarisha uwezo wa utendaji kazi wa shughuli za Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfHPR).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS