Kiwango cha udumavu nchini chashuka kwa asilimia 8 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya tano itatoa msukumo mkubwa katika kukabiliana na tatizo la utapiamlo nchini Read more about Kiwango cha udumavu nchini chashuka kwa asilimia 8