Wanafunzi 65,720 watinga kidato cha tano na ufundi George Simbachawene, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Ofisi ya Rais TAMISEMI leo imetangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2016. Read more about Wanafunzi 65,720 watinga kidato cha tano na ufundi