Waziri wa nchi ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki
Waziri wa nchi ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki, amesema wilaya ya Bagamoyo inaongoza kwa kuwa na taarifa chafu katika mkoa wa Pwani.