Tyson Fury ajitoa pambano la marudiano na Klitchko

Tyson Fury akiwa amepumzika akionyesha eneo la mguu lililoumia.

Bondia bingwa wa uzito wa juu duniani Tyson Fury amejitoa kwenye pambano la kutetea mikanda yake ya dunia ya WBO, WBA na IBO uzito wa juu na Wladimir Klitschko mwezi ujao baada ya kuumia kifundo cha mguu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS