Water Aid kuisadia serikali kusambaza Maji

Mafundi wakiendelea na kazi ya kuunganisha mabomba ya maji eneo la Kiluvya jijini Dar es salaam.

Shirika lisilo la kiserikali la Water Aid limesema linashirikiana na serikali kuhakikisha asilimia 25-30 ya wananchi ambao hawajafikiwa na huduma ya maji safi na salama zinafikiwa kabla ya mwaka 2030.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS