AU yaombwa kutatua mgogoro wa Burundi na Rwanda
Serikali ya Burundi imeutaka Muungano wa Afrika kupata suluhu ya mvutano baiana ya Burundi na Rwanda, huku Waziri wa mambo ya nje wa Burundi Alain Aime Nyamitwe, akisema Serikali ya Burundi iko tayari kuendeleza mazungumzo ya amani.
