Watoto kuzaa umri mdogo kichocheo cha umasikini

Eda Sanga Mkurugenzi wa TAMWA akiongea na waandishi wa habari

Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania, TAMWA, kimeitaka serikali kuhakikisha inapitia upya hatua inazochukua kupambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto na ndoa za utotoni ambazo zinazidi kuongezeka nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS