Majaliwa kuzindua upanuzi uwanja wa ndege Dodoma
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kuzindua awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa ndege wa Dodoma, ili uweze kupokea ndege kubwa za mizigo,abiria na viongozi wa kitaifa na kimataifa.

