Majaliwa kuzindua upanuzi uwanja wa ndege Dodoma

Uwanja wa Ndege Dodoma.

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo anatarajiwa kuzindua awamu ya kwanza ya upanuzi wa Uwanja wa ndege wa Dodoma, ili uweze kupokea ndege kubwa za mizigo,abiria na viongozi wa kitaifa na kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS