Dkt.Shein awataka Wazanzibar kulinda Utamaduni wao

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein.

Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wananchi kutumia vizuri mitandao ili kulinda utamaduni pamoja na kuacha kuiga mambo yasiyopendeza wanayoyaona kutoka kwa wageni,ambayo ni kinyume na maadili na utamaduni wa Mzanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS