Waziri Mkuu akerwa na utendaji Maliasili na Utalii

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kujipanga vizuri na kufanya mapitio ya idara zake hususan ya misitu baada ya kubainika kuwepo kwa matatizo makubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS