Chile bingwa tena wa Copa America
Ni kama mkosi kwa timu ya taifa ya Argentina na mshambuliaji wake mahiri Lionel Messi hii ni baada ya kuendelea kusotea mataji makubwa kufuatia kupoteza kwa mara nyingine mchezo muhimu wa fainali ya kombe la CopAmerica dhidi ya Chile alfajili ya leo.