Maafisa biashara Tanga watakiwa kubadilika

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella, amewataka maofisa biashara kubadilika kwa kujenga tabia na urafiki na wafanyabishara, hatua ambayo itawezesha kukusanya mapato kwa urahisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS