Maafisa biashara Tanga watakiwa kubadilika Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella, amewataka maofisa biashara kubadilika kwa kujenga tabia na urafiki na wafanyabishara, hatua ambayo itawezesha kukusanya mapato kwa urahisi. Read more about Maafisa biashara Tanga watakiwa kubadilika