Jamii yatakiwa kutumia fursa zilizopo kujiajiri
Jamii imetakiwa kutumia fursa zinazijitokeza kutengeneza mitaji ambayo itawasaidia kipato cha kujitengeneza ajira badala ya wengi kutegemea kuajiriwa hali inayowafanya wengi kushindwa kujikwamua kiuchumi.
