Jamii yatakiwa kutumia fursa zilizopo kujiajiri

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda.

Jamii imetakiwa kutumia fursa zinazijitokeza kutengeneza mitaji ambayo itawasaidia kipato cha kujitengeneza ajira badala ya wengi kutegemea kuajiriwa hali inayowafanya wengi kushindwa kujikwamua kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS