Dkt Jakaya Kikwete (Kushoto), na Katibu wa CCM Abdulrahman Kinana katika kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (CCM) Jakaya Mrisho Kikwete amewatumia salamu wale wote ambao waliandaa Rambirambi wakidai kuwa chama hicho kitakufa.