Serikali imetenga Shilingi Bil 15 kwa vijana

Waziri ofisi ya waziri mkuu Sera,Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na walemavu Jenister Mhagama amesema utekelezaji wa wa sera ya taifa ya uwekezaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2004 inalenga kuongeza ushiriki wa watanzania katika uchumi wa nchi kufikia 2025.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS