Afariki baada ya kurukiwa na samaki Ziwa Nyasa Ramani ya wilaya ya Kyela Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Kanga, kata ya Ipinda katika Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya amefariki dunia baada ya kurukiwa na samaki aina ya Perege mdomoni wakati akiwa anavua samaki ndani ya Ziwa Nyasa. Read more about Afariki baada ya kurukiwa na samaki Ziwa Nyasa