Afariki baada ya kurukiwa na samaki Ziwa Nyasa

Ramani ya wilaya ya Kyela

Mtu mmoja mkazi wa kijiji cha Kanga, kata ya Ipinda katika Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya amefariki dunia baada ya kurukiwa na samaki aina ya Perege mdomoni wakati akiwa anavua samaki ndani ya Ziwa Nyasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS