CHADEMA yamshitaki Magufuli, EAC

Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara, John Mnyika

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimefungua kesi ya Kikatiba katika Mahakama ya Afrika Mashariki, wakimshitaki Mwanasheria Mkuu wa serikali nchini Tanzania kwa uvunjaji wa katiba ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS