Nay: Sijibishani na wasio levo yangu Nay wa Mitego. Rapa wa muziki nchini Tanzania, Nay wa Mitego, amesema kwa levo aliyonayo kwenye gemu la muziki hawezi kushindana na msanii ambaye anatafuta kiki kupitia yeye na huku hafikii levo yake. Read more about Nay: Sijibishani na wasio levo yangu