Serikali yatenga ruzuku kwa wachimbaji wadogo

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini - Madini, Prof. James Mdoe (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Juliana Pallangyo

Serikali imetenga fedha ambazo zitawapa wachimbaji wadogo wa madini, kwa ajili ya kuendeleza na kupanua shughuli zao, kukuza mitaji na kuendeleza uthaminishaji wa madini ili waweze kukuza uchumi wao na nchi kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS