Wawakilishi wa kampuni ya QiPads wakiwa katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.
Wafanyakazi wa SBT wakikabidhi taulo za kike katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio.
Mhe. Neema Lugangira akiwa studio za East Africa Radio.
Askofu Subira Mitimingi akizungumza na East Africa TV siku ya leo
Kiasi kidogo cha pombe kinaweza kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo na mishipa, kiharusi na kisukari.
Mkuu wa Idara ya Michezo East Africa TV na East Africa Radio, David Kampista (kushoto) akipokea mchango wa taulo za kike kutoka kwa Melkczedeck Bruno.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo idadi ya watu duniani inaongezeka kwa kasi ndogo zaidi tangu mwaka 1950.
Mwasiti akiongea kwenye kipindi cha Mama Mia cha East Africa Radio siku ya leo.
Dkt Ibrahimu akikabidhi taulo za kike kwa mtangazaji wa East Africa TV, Najma Paul.
Picha ya Tweet Oracle "Aura Cool"
Picha za wanafunzi wakiwa wamevaa sare za Kilt
Dkt Ibrahimu Ibrahimu akikabidhi taulo za kike Kwa Mratibu wa Kampeni ya Namthamini, Evelyne Ngalo.
Picha ya Mustapha Ado na wake zake wawili
Picha ya Bentan Wiwa aliyekatwa sehemu za siri na mkewe

