Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

31 Mei . 2024

Rais Dkt. Mwinyi akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Jumbi leo Februari 26, 2024 wakati wa ziara yake ya kusikiliza changamoto zao

26 Feb . 2024

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt.Selemani Jafo

5 Feb . 2024

Fedha ya Kenya

8 Nov . 2023

Waziri wa Madini kutoka Malawi, Monica Chang'anamuno, akipata maelezo mubashara kwa kutumia kifaa maalumu cha VR kuhusu shughuli za uchimbaji madini za kampuni Geita Gold Mining Limited (GGML) na mifumo ya kiteknolojia inayotumika ndani ya mgodi huo mkoani Geita. Kiongozi huyo alitembelea banda la GGML alipohudhuria Kongamano la Madini na Uwekezaji Tanzania lililofanyika jijini Dar es Salaam wiki iliyopita

3 Nov . 2023