Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Mh. Deo Filikunjombe.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dr. Rehema Nchimbi.
Wahandisi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) wakiwa katika mazoezi mbalimbali ya kubaini nguzo bora.

Waziri Mkuu akifatilia Zoezi la Uandikishaji BVR baada ya kuzindua.

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT, Zitto Zuberi Kabwe akiwahutubia wananchi wa Njombe.
Wasimamizi wa uandikishaji wa Daftari la kudumu la Mpiga kura wakiwa tayari kwa ajili ya zoezi hilo.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania - NEC, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian Lubuva.
Philip Mangula akizungumza na wanafunzi na walimu wa shule ya Hagafilo mkoani Njombe wakati akitoa ufafanuzi wa katiba Pendekezwa.

Moja ya Ofisi za Chama cha Walimu Tanzania CWT.

Ofisa uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura, Alen Simon (kulia) akichukua taarifa muhimu za wakazi wa Mangula, Makambako waliojitokeza
Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba Inayopendekezwa yenye maandishi yaliyokuzwa mara baada ya kukabidhiwa.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Iringa ACP Ramadhani Mungi.
Waandikishaji wakiwa wanasubiri wananchi kujiandikisha Mjini Njombe.