Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Mh. Deo Filikunjombe.

25 Apr . 2015

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dr. Rehema Nchimbi.

24 Apr . 2015

Makamu wa rais CWT Honoratha Chitanda.

23 Apr . 2015

Wahandisi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) wakiwa katika mazoezi mbalimbali ya kubaini nguzo bora.

20 Apr . 2015

Waziri Mkuu akifatilia Zoezi la Uandikishaji BVR baada ya kuzindua.

17 Apr . 2015

Kiongozi mkuu wa chama cha ACT, Zitto Zuberi Kabwe akiwahutubia wananchi wa Njombe.

13 Apr . 2015

Wasimamizi wa uandikishaji wa Daftari la kudumu la Mpiga kura wakiwa tayari kwa ajili ya zoezi hilo.

13 Apr . 2015

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania - NEC, Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufaa, Damian Lubuva.

12 Apr . 2015

Philip Mangula akizungumza na wanafunzi na walimu wa shule ya Hagafilo mkoani Njombe wakati akitoa ufafanuzi wa katiba Pendekezwa.

9 Apr . 2015

Moja ya Ofisi za Chama cha Walimu Tanzania CWT.

9 Apr . 2015

Ofisa uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga kura, Alen Simon (kulia) akichukua taarifa muhimu za wakazi wa Mangula, Makambako waliojitokeza

1 Apr . 2015

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba Inayopendekezwa yenye maandishi yaliyokuzwa mara baada ya kukabidhiwa.

30 Mar . 2015

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Iringa ACP Ramadhani Mungi.

25 Mar . 2015

Waandikishaji wakiwa wanasubiri wananchi kujiandikisha Mjini Njombe.

24 Mar . 2015