Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa mfumo wa BVR.
Wakulima wakiwa wanapakia viazi katika vifungashio kwa ajili ya kupeleka Sokoni.

Wananchi wakiwa wamejitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu kwa mfumo wa BVR.
Kamishina msaidizi na kamanda wa Uhamiaji mkoa wa Njombe Rose Mhagama

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi.

Mradi wa Umeme Vijijini (REA)-Tanesco Njombe waanza kusambaza nguzo Vijijini.
Kibao cha Umoja wa Wafanyabiashara wadogo Mkoani Njombe.

Wananchi wakiwa wamejitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu kwa mfumo wa BVR.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Mashine ya kisasa ya kujiandikisha kitambulisho cha kura.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi
Afisa Elimu Mkoa wa Njombe Bw, Said Nyasio
NAIBU katibu mkuu wa chama cha wafanyakazi wa mashambani (Tpawu), John Vahaye.