Mkuu wa Wilaya wa Wang'ing'ombe mkoani Njombe Estarina Kalisi.
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Sarah Dumba.

Sehemu ya banio la kukingia maji kwenye chanzo cha maji (chemchem) katika kijiji cha Malonje.

Naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla akikwepa utelezi wakati akikagua chanzo cha maji ya chemchemu ya Ndoba kijiji cha Galijembe

Waziri wa Biashara na Viwanda Dkt. Abdallah Kigoda.
Rais wa Vicoba Nchini Bi. Devotha Likokola.

Wananchi wakiwa kwenye foleni ya kuelekea kupiga kura katika chaguzi wa Serikali za Mitaa.

Mwenyekiti Mtendaji Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania, (Tacaids), Fatuma Mrisho

Afisa uhusiano wa PSI kanda ya njanda za juu kusini, Sanday Beebwa.