Picha ya Kanye West na mtoto wake North

12 Oct . 2024

Picha ya R Kelly na binti yake Buku Abi

12 Oct . 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu na Khadija Mwanamboka kushoto

11 Oct . 2024

Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani

11 Oct . 2024

Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani

11 Oct . 2024

Taifa Stars inashika nafasi ya pili kwenye kundi H nyuma ya Congo DRC yenye alama 9 ikiwa imecheza michezo mitatu sawa na idadi ya Stars iliyojikusanyia alama 4 iliyo nafasi ya pili. Timu ya taifa ya Tanzania imepoteza mchezo ugenini dhidi ya Congo DRC kwa goli 1-0, mchezo wa marudiano wa kufuzu michuano ya AFCON 2025 unatarajiwa kuchezwa Oktoba 15, 2024 Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaam.

11 Oct . 2024

Nahodha wa timu ya timu ya taifa ya Ureno ameitumikia timu hiyo michezo 214 akifunga goli 132. Akiwa amedumu kwenye timu hiyo mabingwa wa ubingwa wa mataifa ya Ulaya UEFA EURO 2016,kwa miaka 20 Ronaldo ndiye Mchezaji bora wa Ureno wa muda wote mbele ya Eusebio na Luis Figo japo kwa sasa Mashabiki wanataka apumzike apishe damu changa

11 Oct . 2024

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi

10 Oct . 2024

Wanakikundi cha kijamii

10 Oct . 2024

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars leo Oktoba 10,2024 itashuka dimbani ugenini dhidi ya Congo DRC kweye mchezo wa kufuzu mashindano ya AFCON itakayofanyika nchini Morocco 2025. Stars itaingia kwenye mchezo huu ikichagizwa na urejeo wa Nahodha wa timu Mbwana Samatta ambaye alikosekana katika michezo miwili iliyopita ya timu ya taifa.

10 Oct . 2024