Lee Carsley anatarajiwa kutangazwa kuwa kaimu kocha mkuu timu ya taifa ya England

7 Aug . 2024

Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum la Dar es Salaam, SACP Muliro Jumanne Muliro

7 Aug . 2024

Maria Lekipa Laitayok Mkazi wa Kitongoji wa Kitomgoji cha Mkababu, Wilayani Handeni mkoani Tanga akiandaa chakula kwa kutumia nishati ya gesi ikiwa ni sehemu ya muitikio wa kampeni ya kumtua mama mzigo wa kuni kichwani iliyoasisiwa na Rais Samia Suluhu iliyotambulishwa kijijini humo miezi mitatu iliyopita. Kwa mujibu wa wakazi wa Kijiji hicho, yangu kuanzishwa kwa kampeni hiyo kumekuwa na ongezeko kubwa la matumizi ya nishati ya gesi ya kupikia miongoni mwao badala ya mkaa na kuni kama ilivyokuwa hapo awali.

6 Aug . 2024

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe

6 Aug . 2024

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka (kulia)

6 Aug . 2024

Wanariadha wakishindana kwenye michezo ya Olimpiki inayoendelea nchini Ufaransa.

6 Aug . 2024