Magonjwa yanayoshambulia mazao kudhibitiwa

Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo kutoka Wizara ya Kilimo na Ushirika Dakta Fidelis Mnyaka

Watalamu na watafiti wa mazao ya kilimo wameonyesha matumaini ya kudhibiti magonjwa yanayoshambulia mazao ya Migomba na Mhogo katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, baada ya kubuniwa kwa teknolojia ya vipando vya mimea hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS