Sera ya elimu itadumaza maendeleo - Kapuya
Serikali imetakiwa kuiboresha sera ya elimu iliyozinduliwa hivi karibuni ambayo inaeleza lugha ya kufundishia kuwa ni kishwahili ambapo imebanishwa kuwa kwa kufanya hivyo kutadumaza elimu nchini na kurudisha nyuma maendeleo.