Mufindi wataka wodi ya dharura kuhudumia majeruhi

Baadhi ya majeruhi wa ajali ya barabarani iliyotokea juzi wakiwa katika wodi ya hopitali ya wilaya ya Mufindi

Serikali imeombwa kutazama uwezekano wa kujenga jengo la wodi ya dharura katika hospitali ya wilaya ya Mufindi na kuhakikisha uwepo wa vifaa tiba na wataalam wa kutosha ili kuokoa maisha ya watu wanaojeruhiwa katika ajali mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS