Marufuku kuitisha maandamano Arusha-Sabas

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatusi Sabas.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Liberatus Sabas, amepiga marufuku vyama vya siasa vinavyotafuta umaarufu kwa kuitisha maandamano yasiyo na tija na kusema atakayethubutu atakutana na mkono wa dola.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS