Vilabu kikapu vizingatie mafunzo kwa vijana - TBF
Chama cha mpira wa kikapu nchini TBF kimevitaka vilabu vya mpira wa kikapu nchini vizingatie mafunzo ya vijana zaidi kuliko kuendelea na watu wazima ili kukuza vipaji na kuongeza vipaji vya mchezo huo hapa nchini.