Rais ateua Makatibu Tawala Singida, Shinyanga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua makatibu tawala wa Mikoa ya Singida na Shinyanga kuanzia jana, Jumatatu, Mei 25, 2015. Read more about Rais ateua Makatibu Tawala Singida, Shinyanga