Taifa Stars kuelekea Afrika Kusini bila Domayo Kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars kinaondoka leo kuelekea Afrika kusini kushiriki COSAFA huku kikiwaacha wachezaji tisa kati ya 28 walioitwa kambini na kocha wa timu hiyo Martin Nooij. Read more about Taifa Stars kuelekea Afrika Kusini bila Domayo