VAT changamoto mikopo ya Nyumba nchini Tanzania

Moja ya nyumba zilijengwa kwa ajili ya kuwakopesha wananchi kwa gharama nafuu.

Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mauzo ya nyumba ambayo huongeza bei ya nyumba, imetajwa kuwa moja ya changamoto inayodumaza biashara ya mikopo ya nyumba na hivyo kuwa moja ya vikwazo kwa wanaotaka kumiliki nyumba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS