BVR Geita yatishia kuvunja ndoa za watu Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika mkoa wa Geita kwa kutumia mfumo mpya wa BVR, linatishia kuvunja ndoa za watu kufuatia baadhi ya wanawake walioolewa kulazimika kuacha miji yao na kukesha vituoni. Read more about BVR Geita yatishia kuvunja ndoa za watu