BVR Geita yatishia kuvunja ndoa za watu

Zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika mkoa wa Geita kwa kutumia mfumo mpya wa BVR, linatishia kuvunja ndoa za watu kufuatia baadhi ya wanawake walioolewa kulazimika kuacha miji yao na kukesha vituoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS