Serikali kuwajengea uwezo walimu sekondari nchini Waziri wa Tamisemi, Hawa Ghasia akifafanua jambo. Serikali imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu wa sekondari nchini wanaofundisha masomo ya jiografia, hesabu, Kiswahili na kiingereza katika shule mbalimbali za serikali nchini. Read more about Serikali kuwajengea uwezo walimu sekondari nchini