NMB yatoa msaada Hospitali ya Rufaa ya Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa. Benki ya NMB kanda ya kati imetoa msaada wa magodoro 22 na mashuka 422 kwenye hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma vyote vikiwa na thamani ya Tsh. 10 Milioni Read more about NMB yatoa msaada Hospitali ya Rufaa ya Dodoma.