Ngumi Taifa yashindwa kwenda Zambia Timu ya Taifa ya ngumi za Ridhaa ya Tanzania iliyotakiwa kuondoka hapo jana kuelekea nchini Zambia imekwama kuondoka kutokana na kushindwa kukamilisha baadhi ya vitu kwa ajili ya safari hiyo. Read more about Ngumi Taifa yashindwa kwenda Zambia