Mvua yamkwamisha Climax Bibo

msanii wa muziki wa bongofleva nchini Climax Bibo

Msanii wa muziki Climax Bibo amesema kuwa hali ya hewa inayoendelea kwa sasa ya mvua ndani ya jiji la Dar es Salaam, imekwamisha kwa sehemu kubwa shughuli zake, ikiwepo upigaji picha za video ya ngoma yake mpya inayoitwa 'Wazimu'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS