Ukame wa maji Simanjiro wananchi hatarini

Wananchi wa kata za Narakawo na Lobosiret zilizopo wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara wakiwa mkutanoni.

Zaidi ya wakazi elfu sita katika kitongoji cha Oltotoi Kijiji cha Narakawo wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wako hatarini kuambukizwa magonjwa ya milipuko na kuhara kutokana na ukosefu wa maji safi na salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS