Meneja Jeff aachana na wasanii

meneja wa wasanii wa muziki nchini Uganda Jeff Kiwanuka

Jeff Kiwa, mdau mkubwa na meneja mwenye rekodi ya kufanya kazi na wasanii mbalimbali wakubwa nchini Uganda, amejipanga kuachana na shughuli hiyo ya umeneja na kufanya mambo mengine baada ya kuchafuliwa jina lake katika kazi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS