Usajili wa watoa tiba asili bado kizungumkuti
Waganga wa tiba asili elfu sabini na moja, wanaojishughulisha na utoaji wa tiba asili na tiba mbadala, wanafanya kazi zao pasipo kutambulika na mamlaka zozote nchini Tanzania kiasi cha kufanya zoezi la kukabiliana na imani potofu ikiwemo ramli.