Bingwa wa mabingwa Kick Boxing kufanyika Mei 17

Mashindano ya Kick Boxing kwa ajili ya kumtafuta bingwa wa mabingwa katika mchezo huo yanatarajiwa kuanza rasmi Mei 17 jijini Dar es salaam kwa kuwa na mapambano mawili huku yakitanguliwa na mapambano mengine matano ya utangulizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS