Wawili wapoteza maisha mkutano wa kampeni Morogoro

Rais Kikwete akiwajulia hali watu majeruhi katika hospitali ya mkoa ya Morogoro

Watu wawili wamethibitika kufariki dunia na wengine 17 kujeruhiwa katika mkutano wa kampeni za mgombea urais wa CCM Dkt John Magufuli zilizofanyika jana (Septemba 06, 2015) katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS