Daniel apeleka Bongo movie shule
Mtunzi mahiri wa filamu Tanzania Daniel Manege amenuia kuonesha umuhimu wa elimu na changamoto zake, kupitia filamu ya SAFARI YA GWALU mwishoni mwa mwezi huu, ikibeba kisa cha kijana aliyeamua kurudi shule ya msingi baada biashara yake kufeli.

