Operesheni kali inaendelea kwa wahalifu -Kova

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam

Jeshi la Polisi limesema linaendeleza operesheni maalumu nchi nzima kwa kuwakamata majambazi wanaofanya matukio sehemu tofauti ikiwemo wanaovamia vituo vya polisi pamoja na mitandao yao ya Uhalifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS